
Banda la maonesho la Tanzania katika ukumbi wa mkutano huo.

Spika Makinda akipokelewa na kukaribishwa na maafisa waandamizi
wa Wizara ya Ardhi, Numba na Maendeleo ya Makazi katika banda hilo.

Balozi Msekela na Spika Makinda wakipata maelezo ya ujenzi wa
mji wa Kigambo ambao umekuwa moja ya kivutio kikubwa katika maonesho
haya

Naibu waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe.
Goodluck Ole Medeye (kati) pamoja na Bolozi wa Tanzania nchini Italia
Dkt J. A. Msekela (kushoto) wakiwa na mazungungumzo na Mkurugenzi Mkuu
wa International Ecological Safety Cooperative Organization Profesa
Jiang Mingjun alipolitembelea banda la Tanzania

Samani hizi zinafaa kwa matumizi ya nyumbani na ofisini

Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda (kushoto) akiwa na
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bi.
Maria H. Bidila, Bolozi wa Tanzania nchini Italia, Dkt. James Alex
Msekela na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi , Mhe.
Goodluck Ole Medeye wakipeana msimamo wa kitaifa mara kabla ya kuanza
kwa Mkutano wa 6 wa miji na makazi ulimwenguni, mjini Napoli Italia
leo. Zaidi ya nchi 150 zinatajia kudhuria mkutano huo.

Baadhi ya Wajumbe wa Bunge la vijana
katika mkutano huo wakiwa kwenye picha ya pamoja na Spika wa
Tanzani.Picha na Habari na Prosper Minja-Bunge





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)