
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akisindikizwa na Rais Mwai E. Kibaki baada ya Dhifa ya Kitaifa
aliyoandaliwa katika hoteli ya Inter Continental.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akijibu hotuba na baadaye kunyanyua glasi juu kuwatakia afya njema
wenyeji wake wakati wa Dhifa ya Kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima yake
katika hoteli ya Inter Continental.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
akigonganisha glasi na Rais Mwai E. Kibaki wakati wa Dhifa ya Kitaifa
katika hoteli ya Inter Continental.

Rais Mwai E. Kibaki akiongea wakati wa Dhifa ya Kitaifa aliyomwandalia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete katika hoteli ya Inter Continental.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho
Kikwete akijibu hotuba na kuwatakia afya njema wenyeji wake wakati wa
Dhifa ya Kitaifa iliyoandaliwa kwa heshima yake katika hoteli ya Inter
Continental.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete
na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwa na Rais Mwai E. Kibaki, Waziri Mkuu
wa Kenya Mhe Raila Odinga (kushoto) na Makamu wa Rais wa Kenya Mhe
Kalonzo Musyoka kabla ya Dhifa ya Kitaifa waliyoandaliwa na mwenyeji
wao.Picha na IKULU





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)