MSAMA AENDELEA KUKAMATA MAHARAMIA WA KAZI ZA WASANII NCHINI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MSAMA AENDELEA KUKAMATA MAHARAMIA WA KAZI ZA WASANII NCHINI

 Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama akionyesha CD na DVD feki zenye thamani ya sh.milioni 11 zilizokamatwa katika eneo la Mbagala jijini Dar es Salaam jana, wakati wa operesheni ya kuwakata wezi wa kazi za wasanii inayoendeshwa na kampuni hiyo kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi
 Mkurugenzi wa Msama Promotions, Alex Msama akionyesha CD na DVD feki zenye thamani ya sh.milioni 11 zilizokamatwa katika eneo la Mbagala.

 Msama akionyesha mashine zinazotumika katika kurudufu kazi za wasanii.Picha Kwa Hisani Ya HABARI MSETO BLOG

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages