Home
Unlabelled
Mama Maria Nyerere Akabidhi Matrekta 10 Kwa Kijiji Cha Kwadelo
Mama Maria Nyerere Akabidhi Matrekta 10 Kwa Kijiji Cha Kwadelo
Mama Maria akimkabidhi funguo za trekta moja kati ya kumi
aliyokabidhi, mmoja wa wakulima hao Sheikh Hamis Haji ambaye pia ni
Sheikh wa Kata ya Kwadelo.
Mkazi
wa kijiji cha Kwadelo, Maulid Msema akipokea funguo moja kati ya 10 za
Matrekta yaliyokabidhiwa na Mama Maria Nyerere kwa ajili ya wakulima wa
kijiji hicho kilichopo wilayani
Kondoa, kwa ajili ya kuendeleza shughuli za kilimo kijijini hapo,
katika hafla iliyofanyika Msasani jijini Dar es Salaam jana. Kushoto
anayeshuhudia ni Diwani wa Kata ya Kwadelo, Omari Kariati.
Kisha Kariati akamkabidhi zawadi ya Kitenge Mama Nyerere kama shukurani
ya wananchi wa Kwadelo kujengewa kisima cha maji na baba wa Taifa
Mwalimu mwaka 1961 ambacho hadi sasa kipo.
Halafu akamkabidhi mkoba wa safari kama akitaka kwenda Butiama
Kariati akizungumza neno la kufungua shughuli. Kulia ni Mama Nyerere
Mjane wa Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, Maria Nyerere, akimkaribisha,
diwani wa Kata ya Kwadelo, wilaya ya KLondoa mkoa wa Dodoma, Alhaj Omar
Kariati, wakati diwani huyo na ujumbe wake wa wakulima kumi, walipofika
nyumbani kwa Mama Nyerere kwa ajili ya kukabidhiwa trekta kumi kwa
wakulima hao, katika sherehe iliyofanyika nyumbani kwa Mama Maria
Nyerere, Msasani jijini Dar es Salaam, jana.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua...
Contact Form
About Me
Hello, my name is Josephat Lukaza. I've 12 years in Blogging and An Award Winner for the BEST Political Blog in African Bloggers Awards in 2015 Learn More →
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)