RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AZINDUA MADARASA MAPYA SKULI YA PAGALI UNGUJA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

RAIS WA ZANZIBAR DK SHEIN AZINDUA MADARASA MAPYA SKULI YA PAGALI UNGUJA

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi (SMZ), Dk.Ali Mohamed Shein, akifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa madarasa mapya ya skuli ya Pagali Mkoa wa Kusini Unguja leo(kulia) Mwakilishi wa jimbo la Uzini Mohamed Raza, (wa pili kulia) Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mzee Ali Hssan Mwinyi. (Picha zote na Ramadhan Othman, Ikulu).
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Mwakilishi wa jimbo la Uzini Mohamed Raza,mara baada ya kuzindua madarasa mapya ya skuli ya Pagali Mkoa wa Kusini Unguja.
Baadhi ya Wanafunzi wa Skuli ya Pagali Mkoa wa KusiniUnguja wakiwa katika sherehe za uzinduzi  madarasa mapya uliofanywa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages