Ndovu wala raha na wadau katika muonekano mpya - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Ndovu wala raha na wadau katika muonekano mpya

 Meneja wa Bia ya Ndovu special Malt Pamela Kikuli akizungumza na wadau mbalimbali waliofika kushuhudia uzinduzi wa muonekano mpya wa bia hiyo katika Hotel ya Serena jijini Dar Es Salaam-Kushoto na kulia ni miongoni mwa wadau wa bia hiyo nchini
Wadau mbalimbali na baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha bia nchini Tlb wakitaza sehemu ya mabadiliko ya Bia ya Ndovu kwenye uzinduzi muonekano mpya wa bia hiyo katika Hotel ya Serena jijini Dar Es Salaam ambapo bia hiyo iliweza kutambulisha mabadiliko yaliyofanyika kwenye muonekano wake huku ladha yake ikibakia kuwa ileile.Mabadiliko hayo yalifanyika baada ya Ndovu kushinda Medali ya Pili ya juu kabisa ya Ubora duniani ya Grand Gold Quality Medal ya Monder Selection.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages