DK. SLAA ATII AMRI YA KUHOJIWA NA POLISI KUHUSU MADAI YAKE KUHUSU VIONGOZI WA CHADEMA KUUNDIWA TRIK ZA KUUAWA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

DK. SLAA ATII AMRI YA KUHOJIWA NA POLISI KUHUSU MADAI YAKE KUHUSU VIONGOZI WA CHADEMA KUUNDIWA TRIK ZA KUUAWA

 Katibu Mkuu wa Chadema, Wilbrod Salaa, akiwasili kwenye Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, leo mchana kutii amri ya polisi iliyomtaka kutoa maelezo kuhusu madai yaliyotolewa na chama hicho  juzi kwamba kuna njama zinafanywa na vyombo vya ulinzi na usalama vya serikali kuwaua baadhi ya viongozi wa chama hicho. Kulia ni aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini, Godbres Lema.
 Askari Poilisi akimuelekeza Dkt. Slaa baada ya kuwasili mahala hapo, ''Haya piteni hapa''.
 Baadhi ya watu waliokuwa Makao Makuu ya Jeshi la Polisi kutaka kujua kilichokuwa kikiendelea.
Dkt. Slaa, akiwasalimia baadhi ya watu waliojitokeza mahala hapo.
 Baadhi ya wafuasi wa Dkt. Slaa, wakilisukuma gari lake wakati likiondoka mahala hapo, baada ya kuhojiwa. Picha kwa hisani ya Habari Mseto.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages