MWAKA WA 3 UDOM WANAPOANGAIKA NA ZOEZI LA CLEARANCE.WANAFUNZI WALALA KWENYE OFISI ZA WAHASIBU NA WENGINE KUFIKA SAA SABA USIKU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MWAKA WA 3 UDOM WANAPOANGAIKA NA ZOEZI LA CLEARANCE.WANAFUNZI WALALA KWENYE OFISI ZA WAHASIBU NA WENGINE KUFIKA SAA SABA USIKU

 Baadhi ya wanafunzi wa Mwaka wa 3 wa Chuo Kikuu Cha Dodoma ambao wanahitimu masomo mwezi baada ya kumaliza mitihani ya mwisho hatimaye wahangaika na zoezi la kufanya clearance katika ofisi za wahasibu.Baadhi ya wanafunzi wamelala katika ofisi za wahasibu na wengine kufunga safari saa saba usiku yote ni kwaajili ya kuwahi ili waweze kumaliza mapema zoezi hilo na hatimaye wawe huru kabisa.
Wahitimu hao wakiwa kwenye foleni tokea saa saba usiku.Huku wengine wakiwa wamelala mlangoni mwa ofisi ya wahasibu na huku wengine wakifika ofisini hapo saa saba usiku.Du kazi kweli

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages