LIGHTNESS MICHAEL NDIYE REDDS MISS DODOMA 2012 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

LIGHTNESS MICHAEL NDIYE REDDS MISS DODOMA 2012

Mshindi Wa Taji la Redds Miss Dodoma 2011 akisubiri Kumvalisha Taji Mshindi ambaye atatangazwa katika shindano la Kuwania Taji la Redds Miss Dodoma 2012
Mshindi wa Taji la Redds Miss Dodoma 2012 (katikakati) Lightness Michael akiwa katika picha ya Pamoja na Mshindi wa Pili (Kulia)  Berinda Mdogo na Mshindi wa Tatu wa taji la Redds Miss Dodoma 2012 (Kushoto) Nulsa Magambo Mara baada ya Mshindi wa Taji la Redds Miss Dodoma Kumalizika hapo Jana
Washiriki wa Kinyanganyiro Cha Kuwania Taji la Redds Miss Dodoma Wakiwa Katika Picha ya Pamoja kabla ya Kutangazwa Washiriki walioingia Tano Bora
 Muda wa Maswali Ukawadia Kwa washiriki walioingia katika tano bora
 Baadhi ya washiriki walipokua wakipita Jukwaani kwa Mara ya kwanza
 Muda wa Kuonyesha Vipaji sasa hapo ni mauno kwa kwenda mbele
 Vazi la Ufukweni hilo
 Washiriki walioingia hatua ya tano bora
 Jaji mkuu akisoma majin ya washiriki walioingia tano bora
Muda wa kipaji na Mshiriki huyu akaja na kipaji cha kuimba kihindi na kucheza kuch kuch
 Majaji wakiwa makini katika kuhakikisha wanatoa mshiriki anayefaa na mwenye vigezo vyote vinayohitajika
Msanii wa Bongo Fleva Dully Sykes akitoa Burudani kwa washabiki waliohudhuria katika shindano la kuwania taji la Redds Miss Dodoma 2012 lililofanyika jana katika ukumbi wa kilimani
 Baadhi ya Wadau waliojitokeza kushuhudia Kinyanganyiro Hiko huku wengine wakisakata rumba mara baada ya Dully Sykes Kuwakuna Vilivyo
Waratibu wa Shindano hilo wakiwa katika Picha ya Pamoja
 Hawa ndio waliokunwa vizuri na Show ya Msanii wa Bongo Fleva Dully Sykes
Mmiliki wa mtandao wa Lukaza blog (Wa Kwanza Kushoto) Josephat Lukaza Akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa UDOM waliojitokeza kuwashangilia Wanafunzi wenzao walioshiriki shindano hilo
Mshindi wa Kwanza wa Taji la Redds Miss Dodoma 2012 Lightness Michael akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa Shindano hilo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages