WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AZINDUA MBIO ZA MWENGE MKOANI MBEYA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AZINDUA MBIO ZA MWENGE MKOANI MBEYA

Waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda (katikati) akiwasha mwenge wa uhuru kuashiria kuanza kwa mbio za mwenge huo kwa mwaka 2012 leo katika uwanja wa kumbukumbu ya Sokoine jijini Mbeya. Mwenge huo utakimbizwa kwenye jumla ya Halmashauri za wilaya, Manispaa na miji 157 na kuongozwa na kauli mbiu ya Sensa ya watu na Makazi ni Msingi wa Mipango ya Maendeleo yetu Shiriki kuhesabiwa Agosti 26.
Waziri wa Habari,Vijana , Utamaduni na Michezo Dr. Fennella Mukangara (kulia) akibadilishana mawazo jana mjini Mbeya na Naibu wake Amos Makalla(katikati) na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Joel Bendera wakati wakimsubiri Waziri Mkuu wa Tanzania kuja kuzindua Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2012 .PICHA NA ARON MSIGWA NA VICENT TIGANYA MAELEZO

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages