WAKUU WAPYA WA WILAYA MKOANI ARUSHA WAAPISHWA NA MKUU WA MKOA WA ARUSHA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAKUU WAPYA WA WILAYA MKOANI ARUSHA WAAPISHWA NA MKUU WA MKOA WA ARUSHA

Mkuu wa wilaya ya Arusha John Mongela akiwa anaapa kiapo cha utiifu mbele ya mkuu wa mkoa wa arusha Magesa Mulongo leo
Akuu wa wilaya ya Arumeru  Nyirembe Munasa akiwa anakula kiapo cha uaminifu mbele ya mgeni rasmi
 Wakuu wa wilaya wakiwa katika picha ya pamoja na mkuu wa mkoa  wa Arusha (picha zote na  Gladness Mushi-Arusha
 

Katika jiji la Arusha leo wakuu wapya wilaya wameapishwa ambapo  Mkuu wa mkoa wa Arusha magesa mulongo amewaotaka wasiliwe sifa na badala yake wahakikishe kuwa wanajikita zaidi katika kutatua kero za  wananchi.

Mbali na hayo aliwataka washirikiane na Madiwani katika kutatua tatizo la hati chafu ndani ya halmashauri kwa kuwa kati ya halmashauri zote jijini hapa iliyo na hati safi kidogo ni halmashauri ya Meru pekee

Pia aliwataka wakuu hao kuhakikisha hawapigwi chenga na sheria mbalimbali hasa za vijiji na ile ya asilimia ishirini kwa kila lkijiji kwa kuwa kwa sasa halmashauri zinakwepa sheria hiyo na hali hiyo inapelekea wenyeviti wa vijijiji kuwa katika hali nghumu ya kiutendaji

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages