KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAWAPA SEMINA YA UENDESHAJI WA MITANDAO NA MAADILI KATIKA KUPASHA HABARI ZA MASOKO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

KAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAWAPA SEMINA YA UENDESHAJI WA MITANDAO NA MAADILI KATIKA KUPASHA HABARI ZA MASOKO

Mmiliki wa Mtandao wa Lukaza Blog Josephat Lukaza akipokea cheti chake kutoka kwa Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL), katikati ni Teddy Mapunda Mkurugenzi wa Mawasiliano (SBL) kulia ni David Shayo wa (SBL)


 Mkurugenzi wa mtandao wa www.fullshangweblog.com akipokea cheti chake kutoka kwa Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) mara baada ya kumalizika kwa semina ya Mablogger kuhusu usimamizi na maadili ya upashaji wa habari na masoko katika  uendeleshaji wa blogu na mitandao mingine, iliyofanyika leo kwenye makao makuu ya kampuni hiyo yaliyoko Oysterbay jijini Dar es salaam, katikati ni mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni hiyo Teddy Mapunda
 Mkurugenzi wa Fullshangweblog kushoto akizungumza na mkurugenzi wa 8020fashion Shamimu Mwasha  mara baada ya semina hiyo, kulia ni Mkurugenzi wa blogu ya Father Kidevu.
mkurugenzi wa 8020fashion Shamimu Mwasha akipokea cheti chake Ephraim Mafuru Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) katikati ni mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni hiyo Teddy Mapunda.
Mroki Mroki  kutoka blogu ya Father Kidevu kushoto akipokea cheti chake.
 Mwendeshaji wa Blogu ya Mtaa kwa Mtaa Othman Michuzi kushoto akipokea cheti chake.
 Mkurugenzi wa Blogu ya Jiachie Ahmed Michuzi kushoto akipokea cheti chake.
 Mkurugenzi wa kampuni ya R&R Caroline Gul kushoto  akipokea cheti chake.
 Mkurugenzi wa mawasiliano wa kampuni ya bia ya Serengeti Teddy Mapunda akifafanua jambo katika semina ya uendeshaji wa mitandao na maadili ya upashaji wa habari za masoko katika blogu na mitandao mingine.

 Hadija Kalili wa Bongo Weekend nae  akipokea Cheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Epraimu Mafuru cheti cha mafunzo ya  Diageo Marketing Code yaliyotolewa na Kampuni ya Diageo. Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano wa SBL, Teddy Mapunda. Semina hii ilitolewa kwa Waendeshaji wa Blogu na mitandao ya Kijamii hususani Blogu (Magazeti tando). 
 Mahamood Zubeir wa Bin Zubeir Blog, akipokea Cheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Epraimu Mafuru cheti cha mafunzo ya  Diageo Marketing Code yaliyotolewa na Kampuni ya Diageo. Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano wa SBL, Teddy Mapunda. Semina hii ilitolewa kwa Waendeshaji wa Blogu na mitandao ya Kijamii hususani Blogu (Magazeti tando).
 Mhariri Mkuu wa The Habari Joachim Mushi, akipokea Cheti kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Epraimu Mafuru cheti cha mafunzo ya  Diageo Marketing Code yaliyotolewa na Kampuni ya Diageo. Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano wa SBL, Teddy Mapunda. Semina hii ilitolewa kwa Waendeshaji wa Blogu na mitandao ya Kijamii hususani Blogu (Magazeti tando).
Mablogger mbalimbali wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakijiri katika semina ya uendeshaji wa mitandao na maadili ya upashaji wa habari za masoko katika blogu na mitandao mingine.
 Baadhi ya Bloggers Tukiwa Katika Picha ya Pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti Ephraim Mafuru wa kwanza kulia aliyekaa kwenye kiti akifuatiwa na Meneja Mahusiano Wa Kampuni ya Bia Serengeti Bi Teddy Mapunda baada ya Semina Kumalizika

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages