Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wawekezaji kutoka kampuni ya
Endenville Energy PLC ya Uingereza ambao wanakusudia kuwekeza katika
umeme wa makaa ya mawe nchini.Wawekezaji hao ni Mwenyekiti wa Kampuni
Simon Rollason (kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni, Mark Pryor
(wapili kushoto) na kushoto ni Mwenyeji wao, Cassiano Kaegele,
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Upendo Group ya Sumbawanga. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
WAWEKEZAJI WA UMEME TOKA UINGEREZA WAKUTANA NA PINDA
WAWEKEZAJI WA UMEME TOKA UINGEREZA WAKUTANA NA PINDA
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)