WABUNGE WA CHADEMA NASSARI NA MSIGWA 'WAJIACHIA' WAKISHUHUDIA USA IKICHPWA BAO 4-1 NA BRAZIL - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WABUNGE WA CHADEMA NASSARI NA MSIGWA 'WAJIACHIA' WAKISHUHUDIA USA IKICHPWA BAO 4-1 NA BRAZIL

Wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe, Peter Msigwa na Mhe. Nassari Joshua, Al-Marufu Dogo janja, wakiwa na uwongozi wa tawi la Chadema Washington Dc Libe Mwangombe, wanne, Mjomba a.k.a Cosmas, Mzee wa swahilivilla Aboh Shatry wa pili kulia, pamoja na mashabiki wa US, wakiiunga mkono bendera ya taifa. 
Wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mhe. Peter Msigwa na Mhe. Nassari Joshua, Al-Marufu Dogo janja, Usiku wa Jana Jumatano Mei 30,2011 waliagwa rasmi kwa kupelekwa kuangalia mechi ya Soka ya kimataifa kati ya US na Brazil ndani ya uwanja wa Fedex, uliopo Landover Maryland Nchini marekani. Idadi ya wapenzi waliohudhuria katika mchezo huo ilikuwa ni 67,656 wakiwemo Mhe. Nassari Joshua pamoja na Mhe, Peter Msigwa. 
Wabunge wa chama cha Chadema wakipata flash ya pamoja na warembo wa Kibrazil ndani ya uwanja wa Fedex Field, uliopo Landover Maryland Nchini marekani. 
Picha ya pamoja na viongozi wa juu wa Chadema kwenye mpambano wa US na Brazil Usiku wa kuamkia leo Alhamis ndani ya uwanja wa Fedex, uliopo Landover Maryland Nchini marekani
Wabunge hao wakishangilia na Bendera ya Taifa wakati wakishangilia Bao la kwanza la Brazil lililofungwa kwa Penalti na mchezaji Neymar.
Wachezaji wa Brazil wakilinda ngome yao kwa kuwadhibiti  US kwenye mechi hiyo ya kirafiki ambapo timu ya Brazil waliweza kuwabamiza US bao 4-1 nyumbani kwao.
US. wakijishauri kuanza mtanange huo baada ya kuchapwa bao la nne bao la kwanza lilifungwa na Neymar, na lapili na Thiago mnamo wa dakika ya 11, kipindi cha kwanza. bao la US lilifungwa na Hercules Gomes dakika ya 44 kipindi cha kwanza hadi mapumziko Brazil 2 US 1.
Landon Donovan
Mshambuliaji wa United States Landon Donovan, akipiga krosi huku akidhibitiwa na Brazil defender Marcelo wa Brazi katika mpambano wa kirafiki.
Hivyo ndivyo ilivyo katika uwanja wa FedexFeild, uliopo Landover Maryland Nchini Marekani.Picha na swahilivilla.blog spot.com

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages