MANENO AU MATUMLA KUONDOKA NA NGAO YA PASAKA KESHO NDANI YA DAR LIVE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MANENO AU MATUMLA KUONDOKA NA NGAO YA PASAKA KESHO NDANI YA DAR LIVE

Katibu wa chama cha Masumbwi ya kulipwa nchini Antoni Rutta akiwainua mikono juu mabondia Rashidi Matumla kushoto na Maneno Osward kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katika ukumbi wa Dar live.
Katibu wa chama cha Masumbwi ya kulipwa nchini Antoni Rutta akiwainua mikono juu mabondia Rashidi Matumla kushoto na Maneno Osward kwa ajili ya mpambano wao wa kugombea Ngao ya Pasaka utakaofanyika kesho katika ukumbi wa Dar live
Alphonce Mchumia tumbo akitamba(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)
Mabondia wa kike wakitunishiana misuri kwa ajili ya kutambulisha mpambano wao kesho kushoto ni Jamhuri Saidi na Furaha Nganda baada ya kupima uzito leo katikati ni mratibu wa mchezo huo Kaike Siraju.
Mabondia Rashidi Matumla na Maneno Osward waklitambiana leo kwa ajili ya mpambano wao kesho.
Bondia Furaha Nganda akipimwa presha na Dr. Donald Madono kwa ajili ya mpambano wake kesho.
Mmewaona kesho wanagombea ngao ya Pasaka.
Mchumia Tumbo kwenye pozi.
Auniwezi ndio wanavyotambiana bondia Rashidi Matumla kushoto na Maneno Osward.
kumaliza ubishi kesho ndani ya Dar live.
Wewe cha mtoto tuuu uniwezi ndivyo walivyokuwa wakipeanma mkwara mabondia wa kike kushoto ni Jamhuri Saidi na Furaha Nganda.(Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages