Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NEC -CCM Nape Nnauye Akutana na Waandishi Wa Habari Nakusema "Tunampongeza Joshua Nasari(CHADEMA)na Hakuna Hujuma Yoyote Uchaguzi Ulikuwa Huru na Haki",Lakini Pia Akawapongeza Wananchi wa Jimbo la Arumeru Kwani hiyo Ndiyo Demokrasia Yao.'' - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NEC -CCM Nape Nnauye Akutana na Waandishi Wa Habari Nakusema "Tunampongeza Joshua Nasari(CHADEMA)na Hakuna Hujuma Yoyote Uchaguzi Ulikuwa Huru na Haki",Lakini Pia Akawapongeza Wananchi wa Jimbo la Arumeru Kwani hiyo Ndiyo Demokrasia Yao.''

1
 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa NEC Chama cha Mapinduzi (CCM) Bw.Nape Nnauye akiongea na waandishi wa habari leo katika ofisi ndogo ya chama hicho zilizopo mtaa wa lumumba jijini Dar es salaam,  juu ya uchaguzi mdogo wa ubunge ulifanyika jana katika jimbo la Arumeru mashariki, ambapo mgombea wa CHADEMA Joshua Nasari ameibuka mshindi kwa kura 32.972, chama cha mapinduzi kimekubali  matokeo hayo yaliotangawa na Tume ya uchaguzi leo asubuhi 

Nape kwa niaba ya Chama cha Mapinduzi amempongeza kijana Nasari na kusema "Tunampongeza Joshua Nasari na hakuna hujuma yoyote uchaguzi ulikuwa huru na haki", lakini pia akawapongeza wananchi wa jimbo la Arumeru kwani hiyo ndiyo Demokrasia yao.
2
Baandhi ya wandishi wa habari walioudhuria katika mkutano huo leo wakimsikiliza Nape Nnauye alipokuwa akiongea nao juu ya uchaguzi huo.Picha na Philemon Solomon

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages