Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi Mipango na Maendeleo Zanzibar, Omar Yussuf Mzee Azungumzia mafanikio waliyoyapata katika ziara yao ya Kimafunzo Nchini China na jinsi ya kuyafanyia kazi mafunzo hayo - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi Mipango na Maendeleo Zanzibar, Omar Yussuf Mzee Azungumzia mafanikio waliyoyapata katika ziara yao ya Kimafunzo Nchini China na jinsi ya kuyafanyia kazi mafunzo hayo

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi Mipango na Maendeleo Omar Yussuf Mzee, akizungumza na waandishi wa habari mafanikio waliyoyapata katika ziara yao ya Kimafunzo Nchini China na jinsi ya kuyafanyia kazi mafunzo hayo, mkutano huo umefanyika katika ukumbi mdogo wa baraza la wawakilishi Chukwani.
Mwandishi wa gazeti la Mwananchi Talib, akiuliza swali kwa Waziri wa Fedha, kuhusiana na ziara hiyo.
 Maofisa wa Ubalozi Mdogo wa China Zanzibar wakiwa katika mkutano huo wa kutowa tathimini ya ziara ya China ya Kimafunzo kwa Waheshimiwa Mawaziri wa Serekali ya Mapinduzi  Zanzibar.
 Waandishi wa habari wakimsikiliza Waziri wa Fedha Omar Yussuf Mzee akizungumza katika mkutano huo uliofanyika ukumbi mdogo wa baraza chukwani.Picha na mdau Othman Maulid

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages