WATEJA 100 WA VODACOM WAJISHINDIA Sh. 50,000 KILA MMOJA KATIKA DROO YA SIKU YA PROMOSHENI YA M-PESA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WATEJA 100 WA VODACOM WAJISHINDIA Sh. 50,000 KILA MMOJA KATIKA DROO YA SIKU YA PROMOSHENI YA M-PESA

Meneja Mahusiano kwa Umma na Habari za Mtandao wa Vodacom Tanzania Bw. Matina Nkurlu akionesha nambari za washindi 100 wa droo ya siku ya promosheni ya M-PESA waliojishindia Sh. 50,000 kila mmoja. Wanaoshuhudia ni Mtaalamu wa huduma za ziada kwa wateja wa Vodacom Bi Reenu Verma na Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Bw. Bakari Maggid.Droo hiyo imechezeshwa leo jijini Dar es salaam.
Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha nchini Bw. Bakari Maggid akirekodi taarifa za washindi 100 wa droo ya siku ya promosheni ya M-PESA waliojishindia Sh. 50,000 kila mmoja baada ya kuchezeshwa na Mtaalamu wa huduma za ziada kwa wateja wa Vodacom Bi Reenu Verma(katikati) leo jijini Dar es salaam.. Kushoto ni Meneja Mahusiano kwa Umma na Habari za Mtandao wa Vodacom Tanzania Bw. Matina Nkurlu.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages