Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amepokea hati za utamblisho kutoka kwa
mabalozi watatu wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania.Waliowasilisha
hati zao leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe. Hani Bin
Abdullah bin Mohamed Mu’minah wa Saudi Arabia, Askofu Mkuu Mhashamu
Francisco Mentecillo Padilla wa Vatican, na Mhe.Bi. Judith Kangoma
Kapijimpanga wa Zambia.Pichani Balozi mpya wa Vatican nchini, Askofu
Mkuu Mhashamu Francisco Montecillo Padilla akiwasilisha hati zake kwa
Rais Kikwete.Katikati anayeshuhudia ni Mkuu wa Itifaki Balozi Antony
Itatiro. (Picha na Freddy Maro)
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amepokea hati za utamblisho kutoka kwa
mabalozi watatu wanaoziwakilisha nchi zao hapa Tanzania.Waliowasilisha
hati zao leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe. Hani Bin
Abdullah bin Mohamed Mu’minah wa Saudi Arabia, Askofu Mkuu Mhashamu
Francisco Mentecillo Padilla wa Vatican, na Mhe.Bi. Judith Kangoma
Kapijimpanga wa Zambia.Pichani Balozi mpya wa Vatican nchini, Askofu
Mkuu Mhashamu Francisco Montecillo Padilla akiwasilisha hati zake kwa
Rais Kikwete.Katikati anayeshuhudia ni Mkuu wa Itifaki Balozi Antony
Itatiro. (Picha na Freddy Maro) 




No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)