WANAHABARI WAGEUKA KUWA TESTA YA KAMPUNI YA BIA TANZANIA TBL - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

WANAHABARI WAGEUKA KUWA TESTA YA KAMPUNI YA BIA TANZANIA TBL

Meneja wa Kanda ya Kaskazini Mashariki wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kasilo Msangi akizungumza na waandishi wa habari katika kiwanda cha TBL mkoani Arusha mwishoni mwa wiki, kuelezea mafanikio makubwa ya kampuni hiyo kwa kanda hiyo.
Ofisa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Edith Mushi  (kushoto) akimkabidhi zawadi ya katoni tatu za bia mwandishi wa gazeti la Majira, Pamela  Mollel ambaye alishinda shindano la kutambua radha za aina mbalimbali za bia zinazozalishwa na kampuni hiyo. Shindano hilo lilikutanisha wanahabari wa Mkoa wa Arusha mwishoni mwa wiki.
Ofisa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Edithi Mushi (kushoto), akimkabidhi zawadi ya bia Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari mkoani wa Arusha (APC), Graud Gwandu baada ya kushika nafasi ya pili katika shindano la kutambua radha za bia za  aina mbalimbali zinazozalishwa na TBL, katika shindano lililokutanisha wanahabari wa mkoa huo mwishoni mwa wiki.
Baadhi ya waandishi wa habari Mkoa wa Arusha, wakitembelea kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) mkoani Arusha, mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages