Taswira Za Rais wa Chama cha Madaktari nchini (MAT)na Makamu wa Rais wa MAT Wakitangaza Kusitisha Rasmi Mgomo Wa Madaktari - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Taswira Za Rais wa Chama cha Madaktari nchini (MAT)na Makamu wa Rais wa MAT Wakitangaza Kusitisha Rasmi Mgomo Wa Madaktari

Rais wa Chama cha Madaktari nchini (MAT)Dk. Namala Mkopi akitangaza kumaliza mgomo wa madaktari, Dar es Salaam jana, baada ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete juzi. Kulia ni Makamu wa Rais wa MAT, Dk. Primus Saidia
Mwenyekiti wa Kamati ya Madaktari, Dk. Steven Ulimboka  (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana mchana, kuhusu uamuzi wao wa kusitisha rasmi mgomo wa madaktari nchini.
Mwenyekiti wa Kamati ya Madaktari, Dk. Steven Ulimboka  (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana mchana, kuhusu uamuzi wao wa kusitisha rasmi mgomo wa madaktari nchini.Picha na Mdau Richard Mwaikenda

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages