Mratibu
wa promosheni ya tigo katika Elimu Edward Shila akikabidhi msaada wa
Kompyuta kwa Kaimu Makamu Mkuu Wa Mipango, Fedha na Utawala wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Profesa
Shaaban Mlacha juzi. Jumla ya Kopyuta 48 zenye thamani ya zaidi ya Sh
37 Milioni zilikabidhiwa na kampuni hiyo kwa ajili ya Kitivo cha Sayansi ya Tiba kwa Jamii.
Mratibu
wa promosheni ya tigo katika Elimu Edward Shila akikabidhi msaada wa
Kompyuta kwa Kaimu Makamu Mkuu Wa Mipango, Fedha na Utawala wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Profesa
Shaaban Mlacha juzi. Jumla ya Kopyuta 48 zenye thamani ya zaidi ya Sh
37 Milioni zilikabidhiwa na kampuni hiyo kwa ajili ya Kitivo cha Sayansi ya Tiba kwa Jamii. 




No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)