Taswira Za Kampeni Za Chadema Arumeru Mashariki - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Taswira Za Kampeni Za Chadema Arumeru Mashariki

 Nassari akiwa karibu na helikopta,usafiri anaoutumia kwenye kampeni zake.Anafanya mikutano mitano hadi sita kwa siku
 Mwenyekiti wa Chadema, Mbunge wa Hai na Kiongozi Mkuu wa Kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh.Freeman Mbowe akimuombea kura Nasari
 Mzee maarufu wa CCM aliyerejesha kadi na kujiunga CHADEMA akimnadi Joshua Nassari
Mgombea wa kiti cha ubunge jimbo la arumeru mashariki(Chadema) Joshua Nassari akiomba kura katika kijiji cha Nshupu jana
Mgombea wa kiti cha ubunge jimbo la arumeru mashariki(Chadema) Joshua Nasari akisalimia watu baada ya mkutano
Nasari(katikati) akisindikizwa kwenye helkopta.Kushoto ni Kamanda Renatus Mrashani katibu wa CHADEMA mkoa wa Dar es salaam,na kulia ni kamanda Jackson Makala.Picha na Jacson W. Makala-Arumeru

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages