Mohammed Raza Aapishwa Leo - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mohammed Raza Aapishwa Leo

Mwakilishi wa Baraza la Wawakilishi jimbo la Uzini, Mohammed Raza Daramsi akiapishwa leo na spika wa baraza la wawakilishi Kivicho katika kikao cha Baraza la Wawakilishi kilichoanza leo mjini Zanzibar.Raza ameapishwa kufuatia kuibuka kidedea katika uchaguzi mdogo wa jimbo hilo, uliofanyika mapema mwaka huu na Raza kuibuka na ushindi wa asilimia 61.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages