MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU MH MIZENGO PINDA LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU MH MIZENGO PINDA LEO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Philip Mulugo (kushoto) na  Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam,  Profesa Rwekaza Mukandala  baada ya kufungua  Mkutano wa Kitaifa kuhusu  Elimu ulioandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es salaam kwenye hoteli ya Kunduchi  jijini Dar es salaam Machi 28, 2012.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua  Mradi wa  Ufugaji kuku wa Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine kwenye ukumbi wa  Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Machi  28,2012. Katikati ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na  Uvuvi, Benedict Ole -Nangoro.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitoka kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaa baada ya kuzindua  Mradi wa  Ufugaji kuku wa Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine, Machi  28,2012. Kulia ni Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na  Uvuvi, Benedict Ole -Nangoro. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages