Home
Unlabelled
Taswira Za Kampeni Za CCM Usa River
Taswira Za Kampeni Za CCM Usa River
Wazee wa Kijiji cha Lekitatu, Usa River wakifuatilia kwa makini mkutnao wa kampeni za CCM uliofanyika jana kwenye kijiji hicho
Mratibu
wa kampeni za CCM, Mwigulu Nchemba akisoma waraka kwenye mkutano wa
kampeni Usa River, waraka huo inadaiwa ni wa CHADEMA wakikiri
watashindwa uchaguzi wa Arumeru Mashariki
Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde akihutubia mkutano wa kampeni za CCM jana Uwanja wa Ngarasero, Usa River
Mgombea
wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akisalimia maelfu ya
wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni uliofanyika jioni hii kwenye
Uwanja wa Ngarosero, kata ya Usa River jimboni humo. Kushoto ni
Mratibu wa kampeni za CCM, Katibu wa NEC Uchumi na Fedha, Mwigulu
Nchemba.
Mgombea
wa CCM, jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akipungia mikono
maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano huo. Mbele yake (kushoto) ni
Mbunge wa Mtera Joseph Lusinde
Umati wa watu waliofurika mkutano wa kampeni za CCM, Uwanja wa Ngarasero, Usa River,janaPicha na Bashir Nkromo-Arumeru
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua...
Contact Form
About Me
Hello, my name is Josephat Lukaza. I've 12 years in Blogging and An Award Winner for the BEST Political Blog in African Bloggers Awards in 2015 Learn More →
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)