Rais Kikwete Azungumza na Wazee wa Dar es Salaam - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Kikwete Azungumza na Wazee wa Dar es Salaam

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na wazee wa Dar es salaam leo katika Ukumbi wa Diamond Jubileejijini Dar. Kulia ni Makamu wa Rais, Dkt. Mohamed Gharib Bilal akifuatuwa na Mkuu wa Mkoa huo, Mh. Saidi Meck Sadick na (kushoto) ni Waziri Mkuu, Mh. Mizengo Pinda akiwa na Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam, Mh. Iddi Simba.
Mwenyekiti wa Wazee wa Mkoa wa Dar es salaam, Mh .Iddi Simba akitoa kura ya shukrani.
Wazee wa Dar es salaam wakimsikiliza Rais Kikwete.Picha kwa hisani ya Matukio-Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages