![]() |
| Mwenyekiti wa CCM na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa akizindua kampeni za CCM za uchaguzi mdogo jimbo la Arumeru Mashariki leo katika Uwanja wa Ngaresero. |
![]() |
Wananchi wa Arumeru Mashariki wakiwa wamefurika kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM leo.
|
![]() |
| Mmoja wa walioshiriki kura za maoni kupata mgombea wa CCM, Elirehema Kaaya (kulia) akimpongeza mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM Arumeru Mshariki Sioi. wakati wa uzinduzi wa kampeni hizo. |
![]() |
| Pamela Sioi Sumari akimnadi mumewe Sioi Sumari wakati wa uzinduzi wa kampeni hizo za CCM. Pamela ni mtoto wa Waziri Mkuu wa Zamani Edward Lowassa. |
![]() |
| Sioi akihutubia kwenye mkutano huo wa uzinduzi wa kampeni za CCM. |
![]() |
| Masanja wa Orijino Komedi akifanya manjonjo yake mbele ya umati, wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM leo.(Picha zote na Bashir Nkoromo) |













No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)