Mwalimu wa Shule ya Awali ya Kivulini, Dar es Salaam, Catherine Francis akifundisha baadhi ya watoto wa shule hiyo kuhusu ramani ya Tanzania katika Soko la Kimataifa - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Mwalimu wa Shule ya Awali ya Kivulini, Dar es Salaam, Catherine Francis akifundisha baadhi ya watoto wa shule hiyo kuhusu ramani ya Tanzania katika Soko la Kimataifa

Mwalimu wa Shule ya Awali ya Kivulini, Dar es Salaam, Catherine Francis akifundisha baadhi ya watoto wa shule hiyo kuhusu ramani ya Tanzania katika Soko la Kimataifa la Samaki la Magogoni jijini Dar es Salaam. Shule hiyo iliyojengwa kwa turubai ina watoto 15 ambao wazazi wao wanafanya shughuli katika soko hilo na wamalizapo huwapitia na kurejea nao nyumbani. (Picha na Mohamed Mambo).

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages