Mwenyekiti
wa kamati ya mashindano ya Miss Tanzania Bw.Hashim Lundenga katikati
akiongea na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Hadee's jijini Dar
es salaam, juu ya mabadiliko ya uendeshaji wa mashindano ya Miss
Tanzania kuanzia mwaka huu kutokana na mabadiliko ya kalenda ya
kutafuta mrembo wa dunia ambayo mwaka huu yanafanyika mwezi wa nane
nchini china Kushoto ni mkuu wa itifaki Bw.Albert Makoye na kulia
mtaalamu wa Miss Tanzania Dr.Ramesh Shah.
Mwenyekiti
wa kamati ya mashindano ya Miss Tanzania Bw.Hashim Lundenga katikati
akiongea na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Hadee's jijini Dar
es salaam, juu ya mabadiliko ya uendeshaji wa mashindano ya Miss
Tanzania kuanzia mwaka huu kutokana na mabadiliko ya kalenda ya
kutafuta mrembo wa dunia ambayo mwaka huu yanafanyika mwezi wa nane
nchini china Kushoto ni mkuu wa itifaki Bw.Albert Makoye na kulia
mtaalamu wa Miss Tanzania Dr.Ramesh Shah.






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)