- LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

 Mkurugenzi wa 1Plus, Fina Mango waandaji wa Tuzo hizo akizungumza wakati wa Semina hiyo iliyofanyika jijini, Dar es Salaam.
 Baadhi ya waandishi wa habari za Burudani wakifuatilia kwa makini Semina hiyo
 Katibu wa Mtendaji wa Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) Angelo Luhala akielezea historia ya Tuzo hizo katika Semina kwa waandishi
 Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe akizungumza wakati wa  Semina ya Tuzo za Muziki kwa mwaka huu zinazotarajia kufanyika April.Picha/ Habari kwa hisani ya Amani Tanzania Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages