JK afungua Mkutano wa Mamlaka za Kuzuia na Kupambana na Rushwa Duniani leo - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

JK afungua Mkutano wa Mamlaka za Kuzuia na Kupambana na Rushwa Duniani leo

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano  wa Kimataifa wa Mamlaka za Kuzuia na Kupambana na Rushwa kutoka nchini mbalimbali duniani mjini Arusha leo. Miongoni mwa nchi zinazoshiriki katika mkutano huo ni pamoja na Morocco , Uingereza, Qatar, Uganda, Romania, Brazil, Austria, india, Belgium , Spain, Ukraine , Malsiyia , Namibia na Mwenyeji Tanzania.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages