Gavana wa Benki Kuu Prof. Benno Ndulu akijibu maswali ya waandishi wa
habari (hawapo pichani) mara baada ya Mkurugenzi Msaidizi wa Shirika
la Fedha la Kimataifa (IMF) Idara ya Afrika Peter Allum (kushoto)
kumaliza kuongea na waandishi wa habari kuhusu uchumi wa Tanzania
ulivyokuwa licha ya kuwepo kwa upungufu wa umeme uliosababishawa na
ukame mwaka 2011. Bwana Allum pamoja na ujumbe wake walikuwa hapa
nchini kwa ajili ya kufanya majadiliano ya mapitio ya awamu ya nne ya
mpango wa msaada wa kisera.
Baadhi
ya wajumbe kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) Idara ya
Afrika wakimsikiliza Mkurugenzi msaidizi wa shirika hilo Peter Allum
wakati akiwaelezea waandishi wa habari jinsi uchumi wa Tanzania
ulivyokuwa licha ya kuwepo kwa upungufu wa umeme uliosababishwa na
ukame mwaka 2011. Ujumbe huo ulikuwa hapa nchini kwa ajili ya kufanya
majadiliano ya mapitio ya awamu ya nne ya mpango wa msaada wa kisera. (Picha na Anna Nkinda - Maelezo)






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)