DR. SHABANI KACHUA MTANZANIA ANAEIPEPERUSHA VEMA BENDERA YA TANZANIA NCHINI CANADA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

DR. SHABANI KACHUA MTANZANIA ANAEIPEPERUSHA VEMA BENDERA YA TANZANIA NCHINI CANADA

.com/blogger_img_proxy/
Dr. Engineer Shabani G Kachua akijiandaa kuingia kwenye Professional Engineer Induction Ceremony nchini Canada
.com/blogger_img_proxy/
Hapa Dr. Kachua akionyesha moja ya Nishani aliyotunukiwa siku hiyo
.com/blogger_img_proxy/
Dr Kachua akiwa amesimama kwa nyuma na Mainjinia wenzake
.com/blogger_img_proxy/
Akipiga picha ya pamoja kwa kumbukumbu na mainjinia wenzake. Kwa niaba ya Watanzania ninapenda kukupongeza kwa kuipeperusha vema Bendera ya Tanzania.Picha na Mdau Henry henry

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages