CCM YAENDELEA NA KAMPENI MJI MDOGO WA MBUGUNI HUKO ARUMERU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

CCM YAENDELEA NA KAMPENI MJI MDOGO WA MBUGUNI HUKO ARUMERU

1.+Mwigulu+akihutubia+umati+wa+watu+Mbuguni
Mratibu wa kampeni za CCM Arumeru Mashariki, Mwigulu Nchemba akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano uliofanyika mji mdogo wa Mbuguni, Kata ya Mbuguni, Arumeru Mshariki jana.
2.+Mwigulu+akimnadi+Sioi+mbele+ya+umati+wa+watu+Mbuguni
Mwigulu akimnadi mgombea ubunge wa CCM, Sioi Sumari katika mkutano wa kampeni uliofanyika jana mji mdogo wa Mbuguni Kata ya Mbuguni, Arumeru Mshariki.
3.+Sioi+akiomba+kura+maelfu+ya+watu+Kata+ya+Mbuguni
Mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akiomba kura mamia ya wananchi waliohudhutria mkutano wa kampeni za CCM katika mji mdogo wa Mbuguni, Kata ya Mbuguni.(Picha zote na Bashir Nkoromo).

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages