Buriani Jane Mponzi - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Buriani Jane Mponzi

Marehemu Jane Mponzi
Marehemu Jane Makange na Herry Makange enzi za uhai wao katika Send off ya Jane.
---
Nivigumu kuamini katika mazingira ya kawaida...lakini Ukweli ni kuwa Jane Mponzi (Mrs Herry Makange) hatunaye tena duniani.

Hakika ni kifo na msiba wa kustua sana, Jane amefariki ghafla kama alivyofariki Mume wake Herry Makange miaka kadhaa iliyopita.

Marehemu Jane amefariki jana  Jumapili machi 4,2012 asubuhi kwa shinikizo la damu Mengi yanaweza kusemwa lakini Ukweli utabaki pale pale kuwa Jane hatunae tena. Nimajonzi kwa kila amjuaye na anaemfahamu Jane,Jane pumzika kwa amani na Mungu akupe faraja ya milele 
 
Blogu hii inatoa pole kwa Mtoto wako kipenzi, Familia ya Mzee Mponzi, Ndugu jamaa na marafiki zako wote na familia nzima ya Vodacom Tanzania.
Buruani Jane Mponzi.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages