VIJANA WA TATU WAKAMATWA NA MENO YA TEMBO MKOANI MOROGORO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

VIJANA WA TATU WAKAMATWA NA MENO YA TEMBO MKOANI MOROGORO

VB
Vijana waliomakatwa na meno ya Tembo waliokamatwa jana Mkoani Morogoro ambao walitambulikwa ka majina yao,Erick Kiari (kushoto) mwenye miaka 23, Abel Adrian (katikati) pia anamiaka 23 na Anaheri Mkindi ambaye umri wake ni miaka 17 wakiwa chini ya ulinzi katika kituo cha polisi mkoa wa Morogoro mara baada ya kukamatwa na meno ya tembo vipande 51 wakati wakisafiri kutoka mkoa wa Mbeya kwenda jijini Dar es Salaam kwa kutumia Gari yenye Namba DFP 3468 ambayo inadaiwa kuwa ilibandikwa tu na si Nambari zake za usajili na ilikuwa ni gari ya Mtu binafsi.Watuhumiwa hawa wanatarajiwa kupandishwa kizimbani kesho jumatatu ili kujibu mashtaka yao.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages