Mchezo
wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara katia ya Simba na Azam zote za
jijini Dar es Salaam, umemalizika hivi punde huku timu ya Simba ikiibika
na ushindi wa mabao 2-0 mabao yote yakifungwa na Emanuel Okwi.
Mshabuliaji
wa timu ya Simba Emmanuel Okwi akishangilia baada ya kuifungia timu
yake bao la kwanza katika mchezo wa Ligi kuu ya Vodacom, kwenye uwanja
wa Taifa jijini Dar es salaam jioni hii dhidi ya Azam FC .
VILLA SQUARD v/s POLISO DODOMA
Wakati huo huo mchezo kati ya Villa Squard ya jijini Dar es Salaam na Polisi Dodoma, umemalizika kwa timu ya Villa Squard kuibuka na ushindi wa mabao 2-1, mchezo uliochezwa katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma muda mchache ulipita.

VILLA SQUARD v/s POLISO DODOMA
Wakati huo huo mchezo kati ya Villa Squard ya jijini Dar es Salaam na Polisi Dodoma, umemalizika kwa timu ya Villa Squard kuibuka na ushindi wa mabao 2-1, mchezo uliochezwa katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma muda mchache ulipita.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)