TASWIRA ZA MKUTANO WA RAISI KIKWETE NA WABUNGE WA CCM MJINI DODOMA JANA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TASWIRA ZA MKUTANO WA RAISI KIKWETE NA WABUNGE WA CCM MJINI DODOMA JANA

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib Bilali, Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Pius Msekwa na Katibu Mkuu Wilson Mkama wakimsikiliza Mwenyekiti ya Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii, ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Peramiho, Mh Jenista Mhagama akiongea kabla ya kikao kuanza
 Meza kuu kabla ya kuanza kikao
 Meza Kuu
 Sehemu ya wabunge wa CCM
 Wabunge wa CCM wakiwa mkutanoni White House
 Mkutano ukiendelea

 


 KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (NEC) Itikadi na Uenezi, Bw. John Chiligati akiongea
 Wabunge a CCM.Picha Kwa Hisani ya Michuzi Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages