ONYESHO LA LADY IN RED RELOADED 2012 LAFANA SANA SERENA HOTEL DAR ES SALAAM USIKU WA KUAMKIA LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ONYESHO LA LADY IN RED RELOADED 2012 LAFANA SANA SERENA HOTEL DAR ES SALAAM USIKU WA KUAMKIA LEO

Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 Asia Idarous akiwa katika picha ya pamoja na mume wake Bw. Wa Hamsini katika onyesho hilo lilinalofanyika usiku huu kwenye hoteli ya Serenea Dar es salaam jijini Dar es salaam, onyesho hilo pia litatumika kuchangisha fedha kwa ajili ya kujenga kituo cha kuhudumia watu walioathirika na madawa ya Kulevya hapa nchini. kitakachojengwa huko Kikale, Rufiji mkoani Pwani
Mmoja wa wanamitindo akipita na moja ya mavazi yaliyobuniwa kwa ajili ya siku ya wapendanao katika onyesho la mavazi la Lady In Red jijini Dar es salaam. 
Mshereheshaji wa onyesho hilo akitoa ratiba ya onyesho hilo siku huu katika hoteli ya Serena Dar es salaam. 
Msanii Chid Benz kulia na rafiki yake Koba wakiwa katika onyesho hilo.
Wapenzi mbalimbali wa masuala ya mitindo wakiwa katika onyesho hilo.
Kutoka kulia ni Mange Kimambi, Kisa na Loveness mdau mkubwa wa masuala ya urembo ambaye kwa sasa yuko Liberia kikazi.Picha Na John Bukuku Wa Full Shangwe Blogu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages