Mwandaaji wa onyesho la mavazi la 'Lady in Red' Reloaded 2012 Asia
Idarous akiwa katika picha ya pamoja na mume wake Bw. Wa Hamsini katika
onyesho hilo lilinalofanyika usiku huu kwenye hoteli ya Serenea Dar es
salaam jijini Dar es salaam, onyesho hilo pia litatumika kuchangisha
fedha kwa ajili ya kujenga kituo cha kuhudumia watu walioathirika na
madawa ya Kulevya hapa nchini. kitakachojengwa huko Kikale, Rufiji mkoani Pwani
Mmoja
wa wanamitindo akipita na moja ya mavazi yaliyobuniwa kwa ajili ya siku
ya wapendanao katika onyesho la mavazi la Lady In Red jijini Dar es
salaam. 











No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)