Baadhi ya Wananchi na Waumini wa Dini ya Kiislamu wa
Tumbatu na Vijiji jirani wakiwa katika Msikiti wa Ijumaa wa Tumbatu
Gomani,wakati wa uzinduzi wa Sherehe za Maulidi ya kuzaliwa Nabii
Muhammad (S.A.W) zilizofanyika mwezi 29 mwandamo wa Mfunguo
sita,sawana Tarehe 21Feb 2012.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Ali Mohamed Shein,(kushoto) pamoja na viongozi wengine na Mashekhe
mbali mbali walioalikwa katika Sherehe za Uzinduzi wa Maulidi ya
Kuzaliwa Nabii Muhammad (S.A.W) wakiwa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa
wa Tumbatu Gomani,yalimofanyika maulidi hayo.
Sheikh Abubakar Said,akisoma Maulid Barzanji Mlango wa
Dua,wakati wa Sherehe za Uzinduzi wa Maulidi ya Kuzaliwa Nabii
Muhammad (S.A.W) yaliyosomwa katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa wa Tumbatu
Gomani,ambapo waislamu kwa maelfu walihuduria Maulid hayo, yanayosomwa
kila mwaka ifikapo mwezi 29 mwadamo Mfunguo sita.(Picha na Ramadhan Othman Ikulu)





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)