Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa shambani kwako Msoga, Wilaya ya Bagamoyo,
Mkoa wa Pwani. Shamba hilo ni la manyasi ya kulishia mifugo kwa njia ya
kisasa (zero grazing), akiwa ni mmoja wa wafugaji kijijini hapo. Rais
Kikwete, ambaye aghalabu hutumia muda wake wa likizo shambani kwake,
pia analima pia mananasi ambayo hustawi vizuri katika wilaya hiyo.
Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mh Mwantumu Mahiza.
(PICHA NA IKULU)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
JK katika shamba lake la manyasi ya kulishia mifugo kijijini Msoga
JK katika shamba lake la manyasi ya kulishia mifugo kijijini Msoga
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)