Taswira Kutoka Kikao Cha Baraza La Wawakilishi Zanzibar - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Taswira Kutoka Kikao Cha Baraza La Wawakilishi Zanzibar

 Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakiwa nje ya Ukumbi wa Mkutano kulia Mhe Ali Juma Shamuhuna, Mhe. Dk.Mwinyihaji Makame na Mhe Machano Othman ,wakibadilishana mawazo baada ya kumalizika kwa Kikao cha Asubuhi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi, Mipango na Maendeleo Omar Yussuf Mzee (kushoto) akijadili jambo na Mwakilishi wa Mji Mkongwe Jussa Ismail, wakati wa mapumziki ya Kikao cha asubuhi kumalizika jana
Waziri wa Katiba na Sheria Abubakar Khamis, akisisitiza jambo alipokuwa akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa Kitope Makame Mshimba. 
Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wakichangia Mswada wa Mafao ya Viongozi wa Kisiasa Wastaafu Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages