MWONEKANO WA STENDI KUBWA YA DALADALA MKOANI DODOMA MVUA IKINYESHA......... - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MWONEKANO WA STENDI KUBWA YA DALADALA MKOANI DODOMA MVUA IKINYESHA.........

 Hii ni stendi ya kubwa ya daladala mkoani Dodoma.......inaitwa jamatini...mvua ikinyesha mwonekano wake huwa hivi kama mnavyojionea......
Stendi hii imekuwa kero pindi mvua zinaponyesha mkoani Dodoma...Halmashauri ya Manispaa ya Dodoma hukusanya Ushuru kwa kila Daladala linalotoka....(Picha na Faddy Gaib Linga)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages