Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akipokea seti ya vyombo vya nyumbani na taa
inayotumia nguvu za jua toka kwa Mkurugenzi wa Home Shopping Centre Bw
Gharib Saidi Mohamed ambaye kampuni yake imejitolea kugawa seti kama
hizo pamoja na taa kwa kila familia 655 zilizohamishiwa Mabwepande
baada ya kuathirika na Mafuriko katika bonge la Msimbazi. Bw Gharib pia
ameahidi kujenga shule ya msingi ya eneo hilo pamoja na kituo cha
polisi.
-






No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)