Akiongea
na waandishi wa habari mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa Mbeya Dokta
Eliuta Sanker amesema mpaka sasa ni madaktari watano 5 tu walioripoti
kazini hapo kati ya madaktari 75 waliogoma
Mwonekano wa Hospitali ya Rufaa ya Mbeya

Baadhi ya madaktari wakisoma matangazo ya kutaka warejee kazini

Baadhi ya wagonjwa wakiendelea kuandikiwa vyeti vya kuwaona madaktari


Madaktari
wakiwa wanatoka katika hospitali ya rufaa mbeya baada ya kusaini kitabu
cha mahudhurio yakuwa wamefika kazini lakini huduma hawatoi.Picha na
Habari na Mbeya Yetu





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)