MBIO ZA MARATHON ZAFANYIKA JIMBO LA MTONI ZANZIBAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

MBIO ZA MARATHON ZAFANYIKA JIMBO LA MTONI ZANZIBAR

Hashim Makame kulia ambaye aliibuka mshindi katika mbio za Marathon za Jimbo la Mtoni Zanzibar akiwa na mwezake wakipita mitaa mbali mbali katika mji wa Zanzibar jana.
Kikundi cha Mchezo wa Sarakasi kikifanya onesho katika hafla ya kukabidhiwa zawadi washindi ambao walishiriki katika mbio za Marathon za Jimbo la Mtoni Zanzibar
Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar Nassor Ahmed Mazrui akiwatunuku baadhi ya washiriki ambao walishindana katika mbio hizo za Marathon za Jimbo la Mtoni Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages