BREAKING NEWSSSS:MZEE KIPARA WA KAOLE SANAA GROUP AFARIKI DUNIA LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

BREAKING NEWSSSS:MZEE KIPARA WA KAOLE SANAA GROUP AFARIKI DUNIA LEO





 Enzi ya Uhai wake 


Baada yakuugua kwa muda mrefu mpaka umauti

Mwigizaji maarufu wa maigizo nchini aliyetambulika kwa jina la Mzee Kipara, amefariki dunia leo saa mbili asubuhi maeneo ya Kigogo Mbuyuni baada ya kuugua kwa muda mrefu. mwigizaji huyo ambaye amekuwa kama mlezi wa kundi la Kaole, alikuwa akiishi hapoa katika nyumba ya kaole baada ya kuchukuliwa na wasanii wenzake baada ya kuugua kwake.


Mwili wa marehemu umepelekwa kuhifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala, wakati wakijiandaa kwa mazishi kesho saa kumi. Fununu habari inawapa pole wapenzi wake wote wa maigizo yake ndugu na jamaa ,waigizaj na watanzania wote.


Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi......... Amin

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages