ZIARA YA SIKU MOJA YA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI GEORGE W.BUSH NCHINI TANZANIA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ZIARA YA SIKU MOJA YA RAIS MSTAAFU WA MAREKANI GEORGE W.BUSH NCHINI TANZANIA


 Rais Jakaya Kikwete, akizungumza wakati wa ziara ya Rais Mstaafu wa Marekani, George W Bushi, walipotembelea katika Hospitali ya Ocean Road katika Kitengo cha Kituo cha Utafiti wa Kansa leo. Picha zote na Ikulu
 Rais Jakaya Kikwete, akiteta jambo na Rais Mstaafu wa Marekani, George W Bush, wakati wa ziara hiyo.
 Picha ya pamoja ndani ya Hospitali hiyo wakati wa Ziara.
 Rais Jakaya Kikwete na George Bush, wakitembelea katika Wodi ya wagonjwa Hospitalini hapo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages