Mratibu
wa Mkesha wa kuliombea Taifa, Allen Mbaga kulia akifafanua jambo mbele
ya waandishi wa habari hawapo pichani kuhusu maandalizi ya Mkesha huo
katika ukumbi wa Habari Maelezo Zanzibar, Raha Leo kuliani kwake ni
viongozi mbali mbali wa Kamati ya Mkesha huo kutoka makanisa mbali mbali
Zanzibar.Picha na Yussuf Simai-Maelezo Zanzibar
-
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)